Paroles de la chanson Chekecha par Lulu Diva

Chanson manquante pour "Lulu Diva" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Chekecha"

Paroles de la chanson Chekecha par Lulu Diva

Aah ongeza sauti ya fundi
Ya fundi
Ongeza sauti ya fundi
(Sexy Diva)

Mchuchu mchumba
Hajapenda sebule na chumba
Mtutu si uvumba
Nampenda na bure na dunda

Anafikisha meli na inashuka
Bandari ooh, bandari ooh
Hiki kinesi kimedunda dunda
Shangari ooh, shangari ooh

Nakufaga nusu kabuti
Bendera hufuata upepo
Nashukaga ka parachuti
Afande nikitoka depo

Anamwaga na kumimina, anachekecha
Ka mzizi shina, anapekecha
Mkate wa kumimina, anachekecha

Kama maji kwenye kisima, anachekecha
Yaani moja wima, anapekecha
Mzima mzima, anachekecha
Yaani kanipa uji

Na sio mchina
Anachekecha, anachekecha
Na mi namcheketua
Anachekecha(mama)

Kipa na matede
Anachekecha, anachekecha
Na mi namcheketua
Anachekecha(oooh)

Yaani kanipa uji

Na mapeni nishavuja wino
Siandiki tena na
Uchafu katupa kwa shimo
Na mate katema ma

Akipanda akidandia
Sijisomi
Akivuna napalilia
Mwandani

Anavyonidekeza toto
Namliwaza dodo
Anavyonipendeza koko
Aii weee

Anamwaga na kumimina, anachekecha
Ka mzizi shina, anapekecha
Mkate wa kumimina, anachekecha

Kama maji kwenye kisima, anachekecha
Yaani moja wima, anapekecha
Mzima mzima, anachekecha
Yaani kanipa uji

Na sio mchina
Anachekecha, anachekecha
Na mi namcheketua
Anachekecha(mama)

Kipa na matede
Anachekecha, anachekecha
Na mi namcheketua
Anachekecha(oooh)

Yaani kanipa uji

Na sio mchina
Anachekecha, anachekecha
Na mi namcheketua
Anachekecha(mama)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment