Paroles de la chanson Kampuni Kubwa par Lord Eyes

Chanson manquante pour "Lord Eyes" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Kampuni Kubwa"

Paroles de la chanson Kampuni Kubwa par Lord Eyes

Asinza sinza, Afrika sana
Najichanganya kijito nyama
Mikocheni masaki mbezi bana
Tipsini sasa, kidimbwi chacha

Menzo, wuwuwu
Let's go, wuwuwu
Sa sema ni chuchu
Boss ni Mungu

Jaribu kushindana unajimaliza
Mwenyewe, mwenyewe mwenyewe
Jaribu kushindana unajimaliza
Mwenyewe, mwenyewe mwenyewe

Jaribu kushindana unajimaliza
Mwenyewe, mwenyewe mwenyewe
Jaribu kushindana unajimaliza
Mwenyewe, mwenyewe mwenyewe

Let's go, let's go
Let's go to the moon and sky
Let's go, let's go
Let's go to the moon and sky

Kampuni kubwa sana na inajulikana
Group of companies, group of companies
Kila siku vingine, vingine ni vingine
Moto ni mmoja tu, totozi zote juu
Moto ni mmoja tu, totozi zote juu juu

Kampuni haina mwenyewe
Iko na CEO's, iko na CEO
Kampuni haina mwenyewe
Iko na CEO's, iko na CEO

Jaribu kushindana unajimaliza
Mwenyewe, mwenyewe mwenyewe
Jaribu kushindana unajimaliza
Mwenyewe, mwenyewe mwenyewe

Jaribu kushindana unajimaliza
Mwenyewe, mwenyewe mwenyewe
Jaribu kushindana unajimaliza
Mwenyewe, mwenyewe mwenyewe

Kampuni kubwa sana, kubwa sana
Yebo, yebo, yebo
Kampuni kubwa sana, kubwa sana
Yebo, yebo, yebo

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)