Paroles de la chanson Vuta Pumz par Longombas

Chanson manquante pour "Longombas" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Vuta Pumz"

Paroles de la chanson Vuta Pumz par Longombas

Hee-haa, vuta pumz We vuta pumz
Longombas wanafanya mambo (Ah vuta pumz)
Longombas wanatetemesha 
Ah vu ah vu ah vuta pumz

Jamani nisikilizeni, mnisikilize
Jamani nisikilizeni, mnisikilize
Kuna wanawake warembo wenye marasa
Na mapaja, na weupe Na ni wazuri kinyama

Jamani nisikilizeni, mnisikilize
Jamani nisikilizeni, mnisikilize
Kuna wanaume wengi Wenye vifua, na warefu,
Na wenye nguvu Na ni wazuri kinyama

Lakini tujichunge 
Pengine wanao mdudu
Wanatuacha, wana-go 
Wanatuacha, wana-go 

Hee-haa, ah vuta pumz
We vuta pumz
Hee-haa, ah vuta pumz
We vuta pumz 

Usimwone amejaza nyuma, ukadhani ako poa
Usimwone amerembeka, ukadhani umefika 
Usimwone ana pesa, ukadhani umefika
Pengine anatuacha, kesho anachora 

Usimwone amejaza nyuma, ukadhani ako poa
Usimwone amerembeka, ukadhani umefika 
Usimwone ana pesa, ukadhani umefika
Pengine anatuacha, kesho anachora 

Na kama unayo, si mwisho ya maisha
Ni ugonjwa tu kama malaria
Meza dawa, piga tizi
Kula vizuri utaishi fiti 

Maisha utayasukuma eeh aah
Maisha utayasukuma eeh

Na mijinga usiyojua kujichunga
Kila shimo unaona unadunga
Hebu jichunge kijana utakuja kufa
Tukuzike Lang'ata 

Paja asione tu, huyo ashainua 
Kifua kisipite tu, huyo ashajigonga 
Tako lisipite tu, mate yashamtoka
Tako lisipite tu, mate yashamtoka

Hee-haa, vuta pumz We vuta pumz 
Hee-haa, vuta pumz We vuta pumz 

Ayi nenene, Ayi nenene
Ayi nenene, Ayi nenene
Ayi nenene, Ayi nenene
Ayi nenene, Ayi nenene

Ayi nenene, Ayi nenene
Ayi nenene, Ayi nenene
Ayi nenene, Ayi nenene
Ayi nenene, Ayi nenene

Usimwone amejaza nyuma, ukadhani ako poa
Usimwone amerembeka, ukadhani umefika 
Usimwone ana pesa, ukadhani umefika
Pengine anatuacha, kesho anachora 

Usimwone amejaza nyuma, ukadhani ako poa
Usimwone amerembeka, ukadhani umefika 
Usimwone ana pesa, ukadhani umefika
Pengine anatuacha, kesho anachora 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)