Paroles de la chanson Ndoto ya Mchana par Leteipa the king

Chanson manquante pour "Leteipa the king" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Ndoto ya Mchana"

Paroles de la chanson Ndoto ya Mchana par Leteipa the king

Niliskia tufununu
Kwamba Ulipata Mwingine
Anayekupenda zaidi ya mimi
Mtafunga ndoa pengine
Yetu Ilikuwa shadow
Mapenzi yenu yamekolea
Lazima huwa anakupa
Vitu sikuwa nakupea

Ndoto zako zote
Ulizo niambia,
Naona kama kweli sasa zinatimia
Na sina chochote
Cha kukuambia
ila nakonda kweli nikikufikiria

Sura yako umbo lako jamani Eeeh
Busu na mahaba chumbani maaami
Mawaidha yako nikiwa matatani Eeeh
Nikikumbuka najiona hayawani maaami

Nawatakia memaa (nawatakia memaa)
Nawatakia memaa (nawatakia memaa )
Nawatakia memaa (nawatakia memaa )
Basi kwaheri, kwaheri, kwaheri
Kwaheri mama ( Ndoto yangu ya mchana)

Ingawa inaniumaa
Niko na furaha moyoni
Kuona kwamba umepata
Vyote ulivyokuwa unatamani
Naomba nipate mwaliko
Wa harusi nije nile wali
Tupige picha na wadau
Nikupe Zawadi kama zamani
Alafu ntapeform
Kama behste yako
Kale kawimbo nilikuimbia shambani
Na nitakuinform
Tunza mume wako
Japo kuna vitu zenye ninatamani..

    
Sura yako umbo lako jamani Eeeh
Busu na mahaba chumbani maaami
Mawaidha yako nikiwa matatani Eeeh
Nikikumbuka najiona hayawani maaami

Ingawa ningependa ungekuwa wangu pekeee (nawatakia memaa )
Ingawa moyoni umeniachia kidonda (nawatakia memaa )
Namwomba mungu
Anipatie Mwingine kama wewe (nawatakia memaa )
Hivo kwaheri, kwaheri, kwaheri
Kwaheri mama (Ndoto yangu ya mchana)
Lakini ninaomba unifanyie favour moja (nawatakia memaa )
Ukijifungua kama ni wa kiume
Mpe  jina langu (nawatakia memaa )
Na kama ni wa kike
Mpe jina la mama yangu (nawatakia memaa )
Hivo kwaheriiiiiiiiii (Ndoto yangu mchana)

 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment