Paroles de la chanson Happy Birthday par Leteipa the king

Chanson manquante pour "Leteipa the king" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Happy Birthday"

Paroles de la chanson Happy Birthday par Leteipa the king

Imagine tayari nilikuwa nishasahau,
Kwamba Leo ni siku ya kusherehekea,
Nivenye nimewa busy nikuhustle dooh…
Na picha yako sitaiweka kwa mitandao
Na u sidhani kwamba sikuwa na care
Nivenye safcom nina deni ya soo
 
Ningelikuwa na Pesa ningekubuyia Zawadi,
Nikupe wee my dear
Nikupeleke uingereza ukaone umaridadii,
Wa dunia
Imagine nimeshindwa kuafford hata kakadi,
kakukuwishia
Happy birthday jibambeee

Happy birthdaaaaaay ieieeeeeeh uwooooh uwoooh
 
Nakuombea uishi zaidi ya miaka elfu moja
Ndo ujionee wajukuu Wako pamoja na vitukuu
Uwaeleze tulivyosaidiana, kama masoldier
Nakutoana machozi kama tumela vitunguu
 
Ningelikuwa na Pesa ningekubuyia Zawadi
Nikupe wee my dear
Nikupeleke uingereza ukaone umaridadii,
Wa dunia
Imagine nimeshindwa kuafford hata kakadi,
kakukuwishia,,
Happy birthday jibambeee
 
Happy birthdaaaaaay ieieeeeeeh uwooooh uwoooh
Happy birthdaaaaaay ieieeeeeeh uwooooh uwoooh

 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment