Paroles de la chanson Makofi par Gwaash

Chanson manquante pour "Gwaash" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Makofi"

Paroles de la chanson Makofi par Gwaash

Kikiki (Ingine mbaya)
K for Kanali you know
Fatboy Gwaash (Kuru)

Hainanga kelele
Leo me Ni sterro nakusongesha kidere
Speedy za 150 tukipunguzanga gede
Kaende kaende, ziraru raruere
Party tulifika Kama tushakata drinx
Io unamaanisha kutoka hapa jo tunamix
Shadda inalula me najing mataxine,
Saizo shawty anarushanisha sianda kwa scene, ati?

Geuka mami tupige makofi 
Geuka mami tupige makofi 
Geuka mami tupige makofi 
Geuka mami tupige makofi 

Tupige makofi, tupige makofi 
Tupige makofi

Hio sianda ina clap
Kwanza baby ukitwerk
Unanimada ninadry hella baby ju ya ass
Kakikula hio swallo ndio najua una ass
Sio dera unafaa, ni booty pant unafaa

Pale coast kwenye beach, watajua you are my bitch
Si utani hio haga itafanya ukuwe rich
Wengi wanameza mate but utadu nini 
Tippy toe, tippy toe, tippy toe clubu covid
Ati mimi ndio Gwaash, toto nilikuwa nasnadi
Nawachai kimangoto sio moto ni kipaji
Kushika pesa jo mtoto hizo boss za wangati
Bazu nikibanja wote wanakula moto
Wanadigi mikono zangu zimejaa tu mangoto
Toto wote wao wanajua mi mode fimbo mo, fimbo moto

Geuka mami tupige makofi 
Geuka mami tupige makofi 
Geuka mami tupige makofi 
Geuka mami tupige makofi 

Tupige makofi, tupige makofi 
Tupige makofi

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment