Paroles de la chanson Umeshinda Yesu par Goodluck Gozbert

Chanson manquante pour "Goodluck Gozbert" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Umeshinda Yesu"

Paroles de la chanson Umeshinda Yesu par Goodluck Gozbert

 Huraaah!

Nikitembea, naona 
Baraka, naona 
Ooh kupona, naona 
Hee, umeshinda Yesu

Nikitembea woah, naona 
Baraka, naona 
Heeh kupona, naona 
Heeh umeshinda Yesu

Umefanya mengi 
Yaliyo nje ya fahamu zetu
Ya kushidwa mtu 
Ukautwaa utukufu mkuu

Si wamashaka
Si wasi wasi 
Ukishatenda inabaki kuwa
Ushuhuda mkuu

Yale umefanya, 
Yamebadilisha na majina yetu
Toka kuchekwa, umeweka kicheko

Waganga walitutesa,
Hawakuweza kutuponya
Daktari alishasema, 
Yakwamba imeshindikana

Ila kwa damu ya dhamani 
Ya Yesu umeturejesha
Na nimeona, oooh nimeona
Umeshinda 

Nikitembea, naona 
Baraka, naona 
Ooh kupona, naona 
Hee, umeshinda Yesu

Nikitembea woah, naona 
Baraka, naona 
Heeh kupona, naona 
Heeh umeshinda Yesu

Nikitembea woah, naona 
Baraka, naona 
Heeh kupona, naona 
Heeh umeshinda Yesu

Eeeh

Yesu, Yesu, Yesu
Jina lako ni tamu
Hata kwa magumu
Bado jina ni tamu

Eeeh, linaondoa magonjwa, ni Yesu
Kiboko ya uchawi, ni Yesu
Fufua na watu, ni Yesu
Tetemesha, ni Yesu

Lina pasua miamba, ni Yesu
Vunja ngome kuzimu, ni Yesu
Tuna ujasiri, ni Yesu
Wewe ni Mungu, ni Yesu

Baharini kimya, mwanaume eeh
Maana yeye ni mfalme, mwanaume eeh
Dunia nzima yatii, mwanaume eeh
Hakuna wa ku-pinga Yesu, mwanaume eeh

Anatawala, mwanaume eeh
Jemedari wa vita, mwanaume eeh
Yeye yeye yeye, mwanaume eeh

Ni simba wa Yudah, haa hee hahe hahe
Yesu wee, haa hee hahe hahe
Yesu wee, haa hee hahe hahe
Yesu wee, haa hee hahe hahe

Yesu wee, 
Ooh asantem naoma
Kupona, naona
Naona, umeshinda Yesu

Kwa macho nimeona watu
Wakitendewa miujiza
Kwa macho nimeona watu
Wakifunguliwa vifungo

Kwa macho nimeona watu
Wakitendewa miujiza
Kwa macho nimeona watu
Wakifunguliwa vifungo

Waganga walitutesa, 
Hawakuweza kutuponya
Daktari alishasema, 
Yakwamba imeshindikana

You are number one 
You are number one
You are number one
Sina mwingine

Heeh eeh, heeh eeh
Kweli nimeona, heeh eeh
(kweli nimeona)Heeh eeh

Wala sihitaji kusimuliwa
Matendo yako makuu
Sihitaji kuelezewa 
Maana ninaona

Wala sihitaji kusimuliwa
Matendo yako makuu
Sihitaji kuelezewa 
Maana ninaona

I love you 
Heeh eeh...aaah
Haa hee hahe hahe
Kupona, haa hee hahe hahe
Eeeh Kupona, haa hee hahe hahe
Na umeshinda Yesu
 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)