Paroles de la chanson Umenibeba par Godwill Babette

Chanson manquante pour "Godwill Babette" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Umenibeba"

Paroles de la chanson Umenibeba par Godwill Babette

Umebeba Juu Halleluyah
Umenijenga Juu ya Mwamba
Mungu umejaa wema na Mapendo oh
Eeh nimeona uzuri wako ooh

Nani wa kufanana nawe Mungu wa Israeli
Wa Kupenda na kuchua ni wewe Jehovah ah
Umenifanya mrithi wa kusudi wa wema wako kabisa
Namtumianie nani yeye eh ila Ebenezer

Umebeba Juu Halleluyah
Umenijenga Juu ya Mwamba
Mungu umejaa wema na Mapendo oh
Eeh nimeona uzuri wako ooh

Na bado unanikumbatia wakati wa mawimbi
Tena bado unanizingatia na kunipa tumaini
Nafsi yangu nakupatia nifinyange
Nitalinda moyo wangu huu uu ukufwate

Umebeba Juu Halleluyah
Umenijenga Juu ya Mwamba
Mungu umejaa wema na Mapendo oh
Eeh nimeona uzuri wako ooh

Sifa na ibada nyimbo za utukufu
Yote kwako moyoni natoa
Sifa na ibada nyimbo za utukufu
Yote kwako moyoni natoa
Sifa na ibada nyimbo za utukufu
Yote kwako moyoni mwangu natoa

Umebeba Juu Halleluyah
Umenijenga Juu ya Mwamba
Mungu umejaa wema na Mapendo oh
Eeh nimeona uzuri wako ooh

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)