Paroles de la chanson Mungu Mzuri par
Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote
Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa
Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote
Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa
Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote
Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa
Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele
Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege
Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele
Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege
Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote
Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa
Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote
Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa
Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote
Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa
Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele
Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege
Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele
Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege
Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote
Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa
Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote
Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa.
Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele
Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege
Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele
Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege
Mungu wewe ni mzuri, mzuri, mzuri Sana
Mungu wewe ni mwema, mwema, mwema kwangu
Mungu wewe ni mzuri, mzuri, mzuri Sana
Mungu wewe ni mwema, mwema, mwema kwangu
Upendo wako haulinganishwi kamwe, na lolote
Na, gongo lako lanifariji mimi, kila saa.
Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele
Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege
Mkono wako uko juu yangu, umenizingira nyuma na mbele
Napaa juu kama tai, na maamlaka zaidi ya ndege
Mungu wewe ni mzuri, mzuri, mzuri Sana
Mungu wewe ni mwema, mwema, mwema kwangu
Mungu wewe ni mzuri, mzuri, mzuri Sana
Mungu wewe ni mwema, mwema, mwema kwangu