Paroles de la chanson Egemeo par Godwill Babette

Chanson manquante pour "Godwill Babette" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Egemeo"

Paroles de la chanson Egemeo par Godwill Babette

Roho wako mwenyezi 
Amenifanya jinsi nilivyo
Pumzi yako, uhai wangu 
Umefufua mifupa mikavu 
Uhai umenipa Baba yangu 
Umetuliza dhoruba 
Wakati wa mawimbi 
Moyo wangu na ukuiniue wakati
Nafsi yangu ikuhimidi kila saa 
Egemeo Baba yangu umbali huu 
Ninashukuru, Mwamba 
Dunia, mbingu ni mwashahidi 
Umbali huu ni wewe Bwana wa mabwana

Kwa makubwa madogoumbali umbali huu 
Ni wewe Bwana wa mabwana 
Na mengi, machache  huu
Ni wewe Bwana wa mabwana 
Ninakuinua, inua aa 
Umetenda mema, mema Bwana
Ni wewe  Shamma 
Wewe ni Jehovah Shamma 
Ni wewe  Jireh 
Wewe ni Jehovah Jireh
Ni wewe wewe Shamma 
Wewe ni Jehovah Shamma 
Na bado wazidi kuwa Mungu umekuwa

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment