Paroles de la chanson Tujenge par Brown Mauzo

Chanson manquante pour "Brown Mauzo" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Tujenge"

Paroles de la chanson Tujenge par Brown Mauzo

Naona kama una kitu moyoni
Nahisi kwamba we hujaniamini

Nishalia unizalie, daily tomorrow wewe
Hata wazazi wanishuku nina kasoro
Nishalia unizalie, daily tomorrow wewe
Hata wazazi wanishuku nina kasoro

Kila ukipata mimba, unatoa wewe
Mie napokuuliza, unang'oa nanga
Kila ukipata mimba, unatoa wewe
Mie napokuuliza, unang'oa nanga

Nataka tujenge nyumba (Tujenge tujenge)
Nataka tujenge boma eeh (Na wewe, na wewe)
Nataka tujenge nyumba (Tujenge tujenge)
Nataka tujenge boma eeh (Na wewe, na wewe)

(Ihaji made It)

Naomba usione nakataa
Maisha ngumu hata kula ni balaa
Chumba cha kupanga, kodi ya kuchanga
Naomba ngoja ngoja, hadi mambo yawe sawa

Kama kuzaa nitazaa na wewe
Hata mapacha nitazaa na wewe

Sio lazima mapacha 
Hata mmoja sawa
Usijali kuhusu mapenzi
Maana Mola ndo mgawa

Oooh si uliniambia
Milele utaishi na mimi
Uliniambia
Kulea utalea na mimi

Ungenieleza wazi kinagaubaga
Kuliko kunizuga kunichanganya
Ungenieleza wazi kabla sijalala

Ungenieleza wazi kinagaubaga
Kuliko kunizuga kunichanganya
Ungenieleza wazi kabla sijalala

Kila ukipata mimba, unatoa wewe
Mie napokuuliza, unang'oa nanga
Kila ukipata mimba, unatoa wewe
Mie napokuuliza, unang'oa nanga

Nataka tujenge nyumba (Tujenge tujenge)
Nataka tujenge boma eeh (Na wewe, na wewe)
Nataka tujenge nyumba (Tujenge tujenge)
Nataka tujenge boma eeh (Na wewe, na wewe)

Ngoja bado, sijakataa
Sijakataa, sijakataa
Oooh, yeah, oooh 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)