Paroles de la chanson Hakuna Kulala par Brown Mauzo

Chanson manquante pour "Brown Mauzo" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Hakuna Kulala"

Paroles de la chanson Hakuna Kulala par Brown Mauzo

Mwenye uroho, mwenye uroho baby
Jua Ukizingua utanichoma
Take it slow, take it slow baby
Unajua kunyembua nishakusoma

We ndo mmoja tu sukari
Tukiwa wawili gizani
We ndo mmoja tu sukari
Tukiwa wawili gizani

Yamenifika maji yapo kwa shingo
Vurugu umenishika mangoma mdundiko
Sioni noma nikikuwanga ata bingwa
Funga kibindo, ooh beiby

Hakuna kulala, aha
Kesha na utamu wa banana
All night, tukipambana
We ndio unaniwezaga, beiby 

Hakuna kulala, aha
Kesha na utamu wa banana
All night, tukipambana
Me ndio unaniwezaga

Sema twendelee
Mbele kwa mbele
Ngoma inogere
Again, again, again

Oooh yeah
I hear your body calling now
(ah Naiboi)
I wanna give you something

Ah muda sasa ndo umefika
Kiuno iondoe sister
Ndio nikupe kadhalika(iyee)
Usiku waniita

I like the way you lick your lips
Touching me with your finger tips
Your goodie foodie ni tamu
Ovacado ndani ya kachumbari

Unitasti, me sitakuwasti
We ndo wangu kasi kasi, yeah
Tena sina brekii

Hakuna kulala, aha
Kesha na utamu wa banana
All night, tukipambana
We ndio unaniwezaga, beiby 

Hakuna kulala, aha
Kesha na utamu wa banana
All night, tukipambana
Me ndio unaniwezaga

Unitasti, me sitakuwasti
We ndo wangu kasi kasi
Tena sina brekii

Sema twendelee
Mbele kwa mbele
Ngoma inogere
Again, again, again

Hakuna kulala, aha
Kesha na utamu wa banana
All night, tukipambana
We ndio unaniwezaga, beiby 

Hakuna kulala, aha
Kesha na utamu wa banana
All night, tukipambana
Me ndio unaniwezaga

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment