Paroles de la chanson Haga ya Karao par Benzema

Chanson manquante pour "Benzema" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Haga ya Karao"

Paroles de la chanson Haga ya Karao par Benzema

Mama amejibeba kama mbaru
Akiinamaga lawama toja inararu
Nikikuitisha utasema ni madharau
But siwezi nunua mzinga ka bado sijaonja nyau
Ziii!!!

Na inakaa bei yake iko juu
Wengine huniita Scar ye tu ndo huniita kovu
Nikiilola nabaki nimediste
Hii ni mali nikigonga lazima nitaambia mabeshte

Wasichana wa Kisumu nawamarinate
Wa Nakuru hawapendi ndoa wanamarinate
Nairobi ni sumu imejaza malele
Wa Mombasa si wagumu unaenda holiday

Baby una haga ya karau
Uliniwow ukakill lola ooh
Baby una haga ya karau
Uliniwow ukakill lola ooh

So haga ni poa dem toka 
Naks mi nasema drop it lower
Rada rada chafu I'm a dog bila collar
Fika na form polisi mi naondoka
Hapa ni moto manguo ye anatoa

Na vibe iko juu haga ni beautiful
Price iko juu take over ka ni ya coup
Mimi am just a goon , maliza na atadu
She shake your body  for real
Me I fit pia in the shors

Na imagine uko naked kwa macho
Na stretchmarks 30 kwa tako
Na thong oversize ni mbao
Alcohol nirarue hadi kwa trao

Shida ni moja
Alenjandro ni mmoja mtaongoja
Shida ni moja
Alenjandro ni mmoja mtaongoja

Baby una haga ya karau
Uliniwow ukakill lola ooh
Baby una haga ya karau
Uliniwow ukakill lola ooh

Baby una haga ya karau
Uliniwow ukakill lola ooh
Baby una haga ya karau
Uliniwow ukakill lola ooh

Haga ya karao, haga ya karao
Haga ya karao, haga ya karao
Haga ya karao, haga ya karao

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment