Paroles de la chanson Nayaweza par Beda Andrew

Chanson manquante pour "Beda Andrew" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nayaweza"

Paroles de la chanson Nayaweza par Beda Andrew

Baba amesema kwamba, tumwite nae atasikia 
Tena amesema kwamba tukimwomba jambo atatutendea
Baba amesema kwamba, tumwite nae atasikia 
Tena amesema kwamba tukimwomba jambo atatutendea  

Ila tuwe na imani nayeye
Tukiamini anaweza yote eeeeh 
Mwenye hofu ajigange moyo 
Akiamini Mungu yupo 

Huku tukifanya kazi 
Tukipambana tukipambana 
Tukimwamini wetu mwokozi 
Yesu wa maana ashushae baraka aaah aaah 
 
Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 
Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 

Palipo na nia pana njia
Tena hutimia
So nenda polepole utafika
Yanini kukimbia eeeh?

Fanya magumu kama hujayaona
Japo yanachoma usijali wewe 
Wanaokucheka watapata homa 
Pale wakikuona unasonga mbele 

Daily mapambano pigana 
Ukisaka Day 
Wanaokucheka leo achana nao 
Tazama kesho yakooooh 
 
Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 
Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 

Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 
Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)