Paroles de la chanson Muongo par Barnaba

Chanson manquante pour "Barnaba" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Muongo"

Paroles de la chanson Muongo par Barnaba

This is Barnaba Boy Classic
Mocco Genius, Naa (Mocco)

Masikini mimi moyo wangu pasu pasu
Kwani nilivyompenda singefanya machafu
Penzi kanichimba chimba kama viatu
Yaani bila huruma akatupa na watatu

Kwake niliwekeza upendo
Ye hakuwa na malengo
Penzi akaweka na pengo
Kupenda shida kabisa

Kama mtu kung'oa utumbo
Akapunguza upendo
Akaninyima na tendo
Nifanye nini nimechoka?

Raha ya kitandani, muwe wawili 
Mgusane gusane yenu miili
You lie me everyday

Kumpenda kosa jamani
Akanifanya hayawani
Kwa kuniacha njiani
Masikini kumbe penzi langu bure

Muongo, muongo, muongo
Kumbe muongo
Muongo, muongo, muongo
Kanisave kaka eh

Muongo, muongo, muongo
Visa biza bina wanichora
Muongo, muongo, muongo
Kumbe muongo

Aaah, aah, aah
Acha kulilia pendo maana ushenzi
Kila siku wanazaliwa dada
Wanazaliwa kaka

Ridhiki mafungu saba
Ikizidi na nne bahati
Na bahati hujaga kwa nyakati
Walahi 

Kwake niliwekeza upendo
Ye hakuwa na malengo
Penzi akaweka na pengo
Kupenda shida kabisa

Kama mtu kung'oa utumbo
Akapunguza upendo
Akaninyima na tendo
Nifanye nini nimechoka?

Raha ya kitandani, muwe wawili 
Mgusane gusane yenu miili
You lie me everyday

Kumpenda kosa jamani
Akanifanya hayawani
Kwa kuniacha njiani
Masikini kumbe penzi langu bure

Muongo, muongo, muongo
Kumbe muongo
Muongo, muongo, muongo
Kanisave kaka eh

Muongo, muongo, muongo
Visa biza bina wanichora
Muongo, muongo, muongo
Kumbe muongo

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment