Paroles de la chanson Mtoto wa Tajiri par Barnaba

Chanson manquante pour "Barnaba" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Mtoto wa Tajiri"

Paroles de la chanson Mtoto wa Tajiri par Barnaba

Mtoto wa tajiri naoa naoa
Mtoto wa tajiri huyo
Mtoto wa tajiri naoa naoa
Si mtoto wa tajiri huyo

Baba president mama pilot
Uncle Balesa
Jirani Moh Dweji
Cousin yake Manji, uncle balesa

Hana shida na mambo makeup
Wa kishua sio kiswaswa tu
Dada yake Wema Sepetu

Raha ya moto michoteso
Mtoto kapenda mikoleso
Saa ya nini nisioe
Mmmh unaniadisia

Vidume vya mjini mitelezo
Ndume ni mbili pata toko
Saa ya nini nisioe
Helalaleiyo

Ziko shida nyingi hajui
Nanyeshewa na mvua hajui
Napigwa na jua, hajui
Maseke maseke tu

Napanda Tuktuk kumfuata, hajui
Sometimes nachacha, hajui
Ye ni raha shida hajui, classic

Mtoto wa tajiri naoa naoa
Mtoto wa tajiri huyo
Mtoto wa tajiri naoa naoa
Si mtoto wa tajiri huyo

Mwana kulifind, mwana kulidate
Sijali najali tu chapaa
Ana sura ya baba
Sijali najali tu chapaa

Cha msingi yangu yanakwenda
Na ubonge wake kuna muda anifosi nimbebe
Ovyo tipwa tipwa
Nikibisha tu makofi na mateke

Ziko shida nyingi hajui
Nanyeshewa na mvua hajui
Napigwa na jua, hajui
Maseke maseke tu

Napanda Tuktuk kumfuata, hajui
Sometimes nachacha, hajui
Ye ni raha shida hajui, murder

Mtoto wa tajiri naoa naoa
Mtoto wa tajiri huyo (Umasikini bye bye)
Mtoto wa tajiri naoa naoa
Si mtoto wa tajiri huyo

Kanzu sio dera

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)