Paroles de la chanson Nyota par Bahati

Chanson manquante pour "Bahati" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nyota"

Paroles de la chanson Nyota par Bahati

Lugende lamu
Nikitafuta nyota aiseee
Mutema wangu
Mukachoma sana aisee

Lugende lamu
Nikitafuta nyota aiseee
Mutema wangu
Mukachoma sana

Kisa cha damu msalabani
Uliniwahi wahi wahi
Siwezi lenga kama deni una ni dai dai dai

Kisa cha damu msalabani
Uliniwahi wahi wahi
Siwezi lenga kama deni una ni dai dai dai

Kwako me nang'aa sana
Wewe ni nyota eeh
Kwangu zaidi ya star baba
Wewe ni nyota eeh

Kwako me nang'aa sana
Wewe ni nyota eeh
Kwangu zaidi ya star baba
Wewe ni nyota eeh

Messiah ninavyo kuimbia
Si eti napendalia
Laiti wangelijua
Mbali ulikonitoa

Ninavyo kuimbia ...aha ahaa
Wangelijua ...aha ahaa

Zile time za primo
Kaptula mashimo
Umenifanya ngumzo
Imekuwa ndo sivyo

Zile time za primo
Kaptula mashimo
Umenifanya ngumzo
Imekuwa ndo sivyo

Wewe ndiye nyota
Kwako me nang'aa sana
Wewe ni nyota eeh
Kwangu zaidi star baba
Wewe ni nyota eeh

Kwako me nang'aa sana
Wewe ni nyota eeh
Kwangu zaidi star baba
Wewe ni nyota eeh

Kisa cha damu msalabani
Uliniwahi wahi wahi
Siwezi lenga kama deni una ni dai dai dai

Kisa cha damu msalabani
Uliniwahi wahi wahi
Siwezi lenga kama deni una ni dai dai dai

Kwako me nang'aa sana
Wewe ni nyota eeh
Kwangu zaidi ya star baba
Wewe ni nyota eeh

Kwako me nang'aa sana
Wewe ni nyota eeh
Kwangu zaidi ya star baba
Wewe ni nyota eeh

Ulifanya nang'aa
Ulinifanya mi star
Kwa yote wewe ni nyota eeh
Wewe ni nyota eeh
Wewe ndiye star
Wewe ni nyota eeh

 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)