Paroles de la chanson Mapenzi par Bahati

Chanson manquante pour "Bahati" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Mapenzi"

Paroles de la chanson Mapenzi par Bahati

Na na na
Hehehehe
hapo mwanzoni, hapo mbeleni
shamba Edeni, ah story ya mapenzi

wengi kwa mapenzi hawana imani, yaliwaumiza sana
mapenzi yanatesa zaidi ya money 
Na yalimtesanga kakangu zamani

nyumbani kawa kisirani,
washiriki katoka kanisani lalala
yalimtesanga kakangu zamani,
wameyalinda wengi  kwa burudani

kwenye yaonyeshwa msalabani lalala
oh oh oh, mapenzi kwa nini watesatesa
Oh oh oh, aliyekuumba ni Mola 
Nilifunzwa na Babu ndoa ilivyomtunza,

nikasoma kwa baba naye, Adamu pendana 
Na Adamu akampenda Hawa ndio maana kala lile tunda
hapo ndipo amri ikazaliwa unakumbuka eh,
Na Adamu akampenda hawa nami nadhani tu,,,
mapenzi yafanya tu nachezwa.

oh oh oh, mapenzi kwa nini watesatesa?
oh oh oh, aliyekuumba ni Mola 
Nikaogopa kupenda tena, nikaogopa kupata wangu
Mtoto mama eh,mbona unatesa mapenzi?
mbona unatesa kwa nini? mbona unatesa mapenzi?
Kazini,nyumbani,kanisani.

oh oh oh, mapenzi kwa nini watesatesa?
oh oh oh, aliyekuumba ni Mola 
Ah nikaogopa kupenda tena ,nikaogopa kupenda tena,

mungu kaumba mapenzi, mungu kaumba mapenzi,
story ya mapenzi, story ya mapenzi ilianza Edeni.
mungu kaumba mapenzi, mungu kaumba mapenzi
mtoto mama, Bahati tena

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment