Paroles de la chanson Machozi par Bahati

Chanson manquante pour "Bahati" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Machozi"

Paroles de la chanson Machozi par Bahati

Ooh Bahati Bahati tena
Maachozi machozi ii, machozi mamaye
Machozi skiza papaye
Vidonda vichungu na fikra ona
Vile niliumia
Machozi machungu nakuta mbona
Hakuna vile ningeficha 
Maisha yangu ya usali,
Kasoro mali
Wapi wangu waniokoe,
Napoteza mzazi uchungu wa mwana,
Mbona mola uniondoe 
Nilikosa hata moyo kuchonga moyoni,
Niliumia sana
Maskini kusema hawachoki kuchonga nililia msee iaa
Nilijawa machozi,
Mbona mimi
Maswali kwa mola,
Mbona mimi
Nilijawa machozi,
Mbona mimi
Mbona dunia uchungu,
Mbona mimi
Oooi oooi oooi oooi
Oooi oooi oooi oooi
Nafanya napata gharama,
Kuwa inakera
Bidii nikaweka nikaangua pa tupu,
Niliota kupenya
Mziki ilifanya sana napata gharama,
Kuwa inakera
Bidii nikaweka nikaangua pa tupu,
Niliota kupenya
Ilikuwa uchungu madungu zangu,
Nilijawa naumia aai
Ilikuwa machozi sina hata pozi,
Ila tumbo inalia aai 
Nilijawa machozi,
Mbona mimi
Maswali kuwa mola,
Mbona mimi
Nilijawa machozi,
Mbona mimi
Mbona dunia uchungu,
Mbona mimi
Oooi oooi oooi oooi
Oooi oooi oooi oooi
Naye ukaniweka chini,
Niende wapi mwenzio
Niliangaika kwenda mjini,
Mashambani hivo hivo 
Ukawamu kunionyesha mapenzi,
Hapo siku ya kwanza
Maulana kwangu ukakuwa mpenzi,
Ndio ukaniacha 
Nilikosa hata moyoni
Niliumia sana
Maskini kusema hawachoki kuchonga
Nililia msee aai
Nilijawa machozi
Mbona
Maswali kwa mola
Mbona
Nilijawa machozi
Mbona mimi
Mbona dunia uchunga
Mbona mimi
Mbona mimi, mbona mimi
Si amini ni mimi leo
Maulana hayali mbivu oooh
Si amini ni mimi leo
Rabuka hafungi sikio 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment