Paroles de la chanson Fanya par Bahati

Chanson manquante pour "Bahati" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Fanya"

Paroles de la chanson Fanya par Bahati

 

Aaaah Danny Gift mara tena
Na Bahati tena, tena

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya eeeh 

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya 

Nina madeni hadi kwa mama mboga
Nina madeni haki leo katanuka
Vile naona, kashaanza kunuka
Usiposhuka, baba leo katanuka(fanya)

Natumia storo, bonga
Kusema vile we ni donga
Na beat vile inagonga
Hebu sifika kwa hii ngoma

Natumia storo, bonga
Kusema vile we ni donga
Na beat vile inagonga
Hebu sifika kwa hii ngoma

Natumia storo, bonga
Kusema vile we ni donga
Na beat vile inagonga
Ebu sifika kwa hii ngoma

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya eeeh

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya 

Nikikuona ata shida zitaona
Nikikuona na vipofu wataona
Nikikuona ata shida zitaona
Nikikuona na wagonjwa watapona
Baba fanya(fanya)

Natumia storo, bonga
Kusema vile we ni donga
Na beat vile inagonga
Ebu sifika kwa hii ngoma

Natumia storo, bonga
Kusema vile we ni donga
Na beat vile inagonga
Ebu sifika kwa hii ngoma

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya eeeh

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya 

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya 

Najua leo utafanya(fanya)
Kuliko ulivyo fanya jana(fanya)
Fanya fanya
Fanya fanya 
 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment