Paroles de la chanson Ukinigusa par B Classic 006

Chanson manquante pour "B Classic 006" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Ukinigusa"

Paroles de la chanson Ukinigusa par B Classic 006

Unajua mechi mama sio kidogo
Zama Insta mpaka huko inbobo
Umenimotivate umenipa michongo
Mpaka nikifika kwenu mi ndo kigogo

Kitandani we kinana
Nikikupiga hadi akili zinahama
Inama nigusanishe 
Chanya na hasi kwa wahuni nikufikishe

Kana urembo wa tausi
Black beauty niko duty
Na penzi lake mi sisusi
Kanavyo koki koki za njanduki

Ukinigusa mama nadondoka
Nadondoka 
Ukinigusa mama nadondoka
Nadondoka 

Ukinigusa mama nadondoka
Nadondoka 
Ukinigusa mama nadondoka
Nadondoka 

[Gigy Money]
Oooh baby unavyoizungusha kama toyo
Yaani mimi naloose control
Control, control

Oooh yaani najiona kama doro
Baby nabaki kama koro
Koro aah, koroga

Mi dondo dondo dondokea
Katikati nakukatikia
Gigy money miuno mi nakumwagia
Utake nini kwako baby mi nishatulia

Yaani nipe nipe nyaka nyaka
Nataka tena tena nikupe papa
I go teach you like that
Yaani I go give you like that 
I go give you like that o
Nataka nikupe taa o

Mi ukinigusa mimi
Nadondoka (Kama kiroba wee)
Baby ukinigusa mimi
Nadondoka (Kama mzoga baba)

Baba ukinigusa mwenzio
Nadondoka (Najikokota wee)
Baby ukinigusa mimi
Nadondoka (Nakatakata wee)

Kana urembo wa tausi
Black beauty niko duty
Na penzi lake mi sisusi
Kanavyo koki koki za njanduki

Ukinigusa mama nadondoka
Nadondoka 
Ukinigusa mama nadondoka
Nadondoka 

Ukinigusa mama nadondoka
Nadondoka 
Ukinigusa mama nadondoka
Nadondoka 

Nadondoka, nadondoka 
Nadondoka, nadondoka

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment