Paroles de la chanson Hali Yangu par B Classic 006

Chanson manquante pour "B Classic 006" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Hali Yangu"

Paroles de la chanson Hali Yangu par B Classic 006

B Classic, 006
Na hali ya jana sio sawa na leo
Mwenye mali namuona daily kwa video
Ama ndio tuseme nyota yangu haijang'aa
Na riziki zangu zote zimekataa

Kuomba omba ee daily kama kichaa, ndo sana
Na sio kama naipenda hio hali naichukia
Kamoyo kukaeka hadharani
Hadi huruma, mie mnyonge kimapato
Na sina lolote elimu yangu kikwazo
Ninazidisha mikosi

Ama ndo basi
Mi naondoka kituo, mwenzio naondoka kituo
Mwenzio naumia sana
Wapi hio haki? Mwenzako mimi sielewi

Hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang'ara 
Mwenzako hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang'ara 
Mwenzako hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang'ara 
Wapi hio haki? Mwenzako mimi sielewi

Mi naonewa eeh
Aje aje mtetezi
Aje aje mtetezi
Aje aje anione

Mbele za watu ninanuka
Napopita pita kwa maduka
Hata salamu wanakwepa 
Ati kisa mambo hayajajipa

Nimebaki mpweke sana
Akili pia imevurigika
Nimejikita kwenye sanaa 
Nione kama mambo yatajipa

Maana sielewi na tumbo linadai kila siku
Na kuna wengi wameshadai huruma hakuna 
Majalala ndo nyumba zetu tumeshazoea
Kama mabadiliko sio sana 
Hosana tunamuomba ee

Ama ndo basi
Mi naondoka kituo, mwenzio naondoka kituo
Mwenzio naumia sana
Wapi hio haki? Mwenzako mimi sielewi

Hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang'ara 
Mwenzako hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang'ara 
Mwenzako hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang'ara 
Wapi hio haki? Mwenzako mimi sielewi

Mi naonewa eeh
Aje aje mtetezi
Aje aje mtetezi
Aje aje anione

Aje aje mtetezi
Aje aje mtetezi

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)