Paroles de la chanson Sikupenda par Lamithah

Chanson manquante pour "Lamithah" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Sikupenda"

Paroles de la chanson Sikupenda par Lamithah

Aah, aah aah
(Lamithah)

Lile huba ulonipa naliwaza
Nimejaribu kulifuta limekataa
Mwenzko siwezi
Moyo umesema no no no , nakuwaza

Umenizima kama moto wa kivuvu, mi dhamani sina
Umeniacha na makovu kila siku nalitaja jina
Nihurumie, nazimiss zile pipi chocolate
Oh nikaribie, mi mwenzako sijiwezi yo yo

Sikupenda penda nilidani kugombana
Na pia sikupenda vile tulivyoachana
Sikupenda penda nilidani kugombana
Na pia sikupenda vile tulivyoachana

Ulikuwa na tabia, tabia flani sikuipenda
Nikikuuliza chochote unageuka unakwenda
Kwa maamuzi ya hasira nilihisi kama hunipendi
Nikajifanya mi tahira dakika tano niko stand
Nimegundua kila mtu ana mapungufu baby
Nimejifunza kukubali hali ndo tuishi baby

Umenizima kama moto wa kivuvu, mi dhamani sina
Umeniacha na makovu kila siku nalitaja jina
Nihurumie, nazimiss zile pipi chocolate
Oh nikaribie, mi mwenzako sijiwezi yo yo

Sikupenda penda nilidani kugombana
Na pia sikupenda vile tulivyoachana
Sikupenda penda nilidani kugombana
Na pia sikupenda vile tulivyoachana

Sikupenda penda nilidani kugombana
Na pia sikupenda vile tulivyoachana
Sikupenda penda nilidani kugombana
Na pia sikupenda vile tulivyoachana

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment