Paroles de la chanson Unabaki Kuitwa Mungu par Upendo Nkone

Chanson manquante pour "Upendo Nkone" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Unabaki Kuitwa Mungu"

Paroles de la chanson Unabaki Kuitwa Mungu par Upendo Nkone

Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama ulinihuzunisha
Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama haujajibu maswali

Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama pito langu ni nzito
Unabaki kuitwa Mungu
Maana wewe ni Mungu mkuu

Umesema nikutafute sana baba
Ndipo nitakapo kuona bwana wangu
Nimefanya hivyo kwa miaka mingi sana
Lakini bado uko kimya

Ona watu wameanza kunicheka sana
Aibu hii nijifiche wapi Yesu wangu
Na umesema hautaniaibisha  wee
Nitendee Yesu nisiaibike

Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama ulinihuzunisha
Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama haujajibu maswali

Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama pito langu ni nzito
Unabaki kuitwa Mungu
Maana wewe ni Mungu mkuu

Safari ya wokovu sio mchezo
Tunakutana na mambo mazito sana
Ambayo mtu kuyategemea
Na tena yanaumiza moyo

Lakini Mungu yeye ni mwaminifu sana
Anafanya mlango wa kutokea
Jitie moyo katika bwana
Maana faraja ya kweli yatoka kwake

Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama ulinihuzunisha
Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama haujajibu maswali

Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama pito langu ni nzito
Unabaki kuitwa Mungu
Maana wewe ni Mungu mkuu

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment