Paroles de la chanson Sifa par Ali Mukhwana

Chanson manquante pour "Ali Mukhwana" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Sifa"

Paroles de la chanson Sifa par Ali Mukhwana

(Still Alive)

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Uliyenipa uzima (Zima)
Uzima wa bure (Bure)
Unastahili sifa Bwana

Uliyenipa uzima (Zima)
Uzima wa bure (Bure)
Unastahili sifa Bwana

Kwa haki yako nimetawala dunia
Kwa haki yako nimepata kibali
Kwa haki yako nimetawala duniani
Kwa haki yako umenipa kibali

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Uliyeziumba usiku na mchana
Mimi mwenyewe ni kazi ya mikono yako
Baba nitumie jinsi upendavyo
Nami nitumike jinsi utakavyo

Eh maana bila wewe mimi ni kazi bure (Bure)
Maana bila wewe mimi si chochote

Kwa haki yako nimetawala dunia
Kwa haki yako nimepata kibali
Kwa haki yako nimetawala duniani
Kwa haki yako umenipa kibali

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Pokea, pokea sifa bwana
Pokea chukua Yesu
Pokea chukua Yesu, pokea chukua 
Pokea chukua Yesu, pokea chukua

Kwa haki yako nimetawala dunia
Kwa haki yako nimepata kibali
Kwa haki yako nimetawala duniani
Kwa haki yako umenipa kibali

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment