Paroles de la chanson Nani Kama Wewe par Eunice Njeri

Chanson manquante pour "Eunice Njeri" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nani Kama Wewe"

Paroles de la chanson Nani Kama Wewe par Eunice Njeri

Nani kama wewe
Nakuinua Mungu wangu leo
Nani kama wewe
Nakupenda

Nani kama wewe
Nakuinua Mungu wangu leo
Nani kama wewe 
Nakupenda

Miguuni pako 
Nakuinamia Bwana
Heshima na utukufu Baba
Nakupa Yesu

Tumekuja tukuinue
Tumekuja tukupende
Miguuni pako
Twakupenda

Nani kama wewe
Nakuinua Mungu wangu leo
Nani kama wewe 
Nakupenda

Nani kama wewe
Nakuinua Mungu wangu leo
Nani kama wewe 
Nakupenda

Enzini pako, twakuinamia Bwana
Heshima na utukufu Baba 
Nakupa Baba

Miguuni pako 
Nakuinamia Bwana
Heshima na utukufu Baba
Nakupa Yesu

Tumekuja tukuinue
Tumekuja tukupende
Miguuni pako
Twakupenda

Nani kama wewe
Nakuinua Mungu wangu leo
Nani kama wewe 
Nakupenda

Nani kama wewe
Nakuinua Mungu wangu leo
Nani kama wewe 
Nakupenda

Nani kama wewe Bwana
Hakuna, mwingine kama wewe Bwana
Nani kama wewe Bwana
Hakuna, mwingine kama wewe Bwana

Duniani, mbinguni na hata chini Baba, hakuna
Mwingine kama wewe Bwana
Nani kama wewe Bwana
Hakuna, mwingine kama wewe Bwana

Eeh Baba eh Baba 
Eh Baba pokea sifa
Eeh Baba eh Baba 
Eh Baba pokea sifa

Eeh Baba eh Baba 
Eh Baba pokea sifa
Eeh Baba eh Baba 
Eh Baba pokea sifa

Hakuna kama wewe(Pokea sifa)
Hakuna kama wewe(Pokea sifa)
Hakuna kama wewe(Pokea sifa)
Hakuna kama wewe(Pokea sifa)

Chezea Yesu

Eeh Baba eh Baba 
Eh Baba pokea sifa
Eeh Baba eh Baba 
Eh Baba pokea sifa

Eeh Baba eh Baba 
Eh Baba pokea sifa
Eeh Baba eh Baba 
Eh Baba pokea sifa

Amen Amen, Amen
Amen

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)