Paroles de la chanson Shule Yako par Mercy Masika

Chanson manquante pour "Mercy Masika" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Shule Yako"

Paroles de la chanson Shule Yako par Mercy Masika

Baba nichukue nifunze nataka kusoma
Kwa shule yako kwa shule yako
Nichukue nifunze nataka kusoma
Kwa shuke yako kwa shule yako
Nikiwa nawe kama mwalimu
Ninajua nitahitimu
Nitashinda adui akileta majaribu
Unitayarishe unibadilishe
Mtihani nipite mwito nilipize
Nijue kuandika niandike maono yangu
Nijue kuhesabu nihesabu baraka zako
Nijue kuongea nihubiri neno lako
Kwa watu wako
Baba nichukue nifunze nataka kusoma
Kwa shule yako kwa shule yako
Nichukue nifunze nataka kusoma
Kwa shule yako kwa shule yako
Shule yako hatudanganyi ni ukweli na uwazi
Wanafunzi hawagomi mwalimu atujali
Unifunze mipango wote niwaheshimu
Yesu ni mwalimu yesu ni mwalimu
Nijue kuandika niandike maono yangu
Nijue kuhesabu nihesabu baraka zako
Nijue kuongea nihubiri neno lako
Kwa watu wako
Baba nichukue nifunze nataka kusoma,
Kwa shule yako kwa shule yako
Nichukue nifunze nataka kusoma
Kwa shule yako kwa shule yako

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)