Paroles de la chanson Ulimi Yangu par Mejja

Chanson manquante pour "Mejja" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Ulimi Yangu"

Paroles de la chanson Ulimi Yangu par Mejja

Ni ile siku kila kitu huenda poa ah
Rent umelipa, stima umelipa
Dem hana nuks ametulia
Ako kwa moods anakupikia

Food ikiiva ashapakua
Ashaniuliza inataste aje?
Nishamwambia si ungeeka spice kiasi
Akijam namdanganya iko poa

Anadai twende out
Namwambia badilisha basi twende
Akivaa "Nakaaje kabla nitoke?"
Okey ume-colour crash
Hio top na hio mini kwangu hazimatch

Anajam anajishika kiuno
Ananitolea mi huwa sikuget
Kila kitu mi hufanya hu appreciate
Ooops ulimi yangu kulikuwa na amani
Sasa nimeleta taabu eeh

Ulimi yangu, huniletea noma tu 
Nakwambia eeh, ulimi yangu
Huniletea nuks tu
Nakwambia ulimi yangu huniletea noma

Ni sato jioni around 3
Nilikuwa kwa stage nategea ma3
Dem alinipita akasimama kando yangu
Baadae kidogo niko na wasee watatu
Aaah wakasimama kando yake

Hakuwa anaskia wakiiba kwa kibeti yake
Nikawika "Wezi Wezi"
Kidogo wakanigeukia mimi
Wakanishika mashati wakaniangusha chini
Iko iko wakanipiga mangumi makofi
Wakanikanyangia chini

Mmoja akanikondolea macho
"Kijana siku ingine ufikirie maneno yako"
Watu walikuwa wanaangalia
Hakuna kitu wanafanya wanacheki naumia
Mpaka ule dem nilikuwa nasaidia
Nikawish ningenymazisha ulimi
Kusaidia, tena sio mimi

Ulimi yangu, huniletea noma tu 
Nakwambia eeh, ulimi yangu
Huniletea nuks tu
Nakwambia ulimi yangu huniletea noma

Kwa kampuni watu walikuwa wananyanyaswa
Nikaskia kuna mgomo ilikuwa inapangwa
Na vile mi hukuwa msee wa mdomo nikaambiwa 
"Mejja we ndo utakuwa spokesman wetu"

Nikawaambia na nikipoteza kazi yangu?
Wakaniambia nitakuwa nyuma yako
Kidete mpaka mwisho 
Mgomo kuanza nilikuwa mstari wa mbele

Na maplacards na makelele
Ungeniona nilikuwa kichwa ngumu
Nikiwika "Tunataka haki yetu"
Baadae wadosi walitimiza
Ile kitu wafanyikazi walikuwa wanataka

Siku ya pili kwenda kazi mi kufika
Nikachapiwa Mejja ushafutwa
Nikawaambia si mnafaa kuwa nyuma yangu

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment